Aaaaah...
Bro' unapeleka wapi huo mkono sasa ayiiiii... au ndiyo mnajipaga raha
kiasi hiki mkija kwenye burudani zenu dah! kuanzia leo siachi kuzamia
starehe za wakubwa, na siku nikikua nitafidia hivi ninavyovikosa leo,
maana ukubwa kumbe rahaaa... mama yangu uuuwiiiiii...
No comments:
Post a Comment