MWANAMUZIKI
nyota wa kike anayetamba na kibao kinacho lalama kuhusu mapenzi, ‘Posa ya
Bolingo’ Alicious Theluji pichani juu, anatarajiwa kupamba onyesho la ‘Usiku wa Masauti’
litakalofanyika jijini Dar es Salaam,
Aprili 18 mwaka huu.
Alicious
mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
(DRC), aliyezaliwa Jimbo la Kivu, alihamia na familia yake nchini Kenya wakati akiwa na miaka minne na kwa sasa
yuko nchini Sweden
kimasomo.
No comments:
Post a Comment