Friday, April 10, 2015

MALKIA POSA YA BOLINGO KUPAMBA USIKU WA MASAUTI


MWANAMUZIKI nyota wa kike anayetamba na kibao kinacho lalama kuhusu mapenzi, ‘Posa ya Bolingo’ Alicious Theluji pichani juu, anatarajiwa kupamba onyesho la ‘Usiku wa Masauti’ litakalofanyika jijini Dar es Salaam, Aprili 18 mwaka huu.
Alicious mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), aliyezaliwa Jimbo la Kivu, alihamia na familia yake nchini Kenya wakati akiwa na miaka minne na kwa sasa yuko nchini Sweden kimasomo.

No comments:

Post a Comment