Friday, April 10, 2015

Tanzania Premier League


“Tuna kikosi imara kinachoweza kufunga idadi kubwa ya mabao”- Hans van der Pluijm

“Tuna kikosi imara kinachoweza kufunga idadi kubwa ya mabao”- Hans van der Pluijm

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm amesema kipigo cha bao 8-0, walichokitoa juzi dhidi ya Coastal Union kimemshangaza
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm amesema kipigo cha bao 8-0, walichokitoa juzi dhidi ya Coastal Union kimemshangaza kwani hajawahi kupata matokeo kama hayo tangu aanze kufundisha soka kwenye nchi mbalimbali za Afrika ikiwemo Ghana na Saudi Arabia.

No comments:

Post a Comment