Sunday, April 19, 2015

Arsenal yatinga fainali ya FA


  • 19 Aprili 2015
Wachezaji wa Arsenal wakisherehekea bao walilofunga dhidi ya Reading
Reading ilikuwa ikicheza kufa na kupona ili kushiriki katika mechi ya fanaili ya kombe la FA katika uwanja wa Wemble,ambayo ni kwa mujibu wa mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger.
Reading ilitoka nyuma na kusawazisha na kufanya mechi hiyo kuchezwa katika mda wa ziada.
Vilvile walishindwa kutumia nafasi muhimu kuilaza Arsenal.
Makosa ya kipa Adam Federic yalipaatia Arsenal ushindi huku mechi hiyo ikikamilika 2-1 kupitia mabao yaliofungwa na mchezaji nyota wa Arsenal Alexei Sanchez

No comments:

Post a Comment