Mkufunzi
wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa wachezaji muhimu wa
Manchester United walizuia katika mechi iliochezwa kulingana na mahitaji
yake.
Kocha huyo sasa anasema kuwa timu yake inaelekea kushinda
ligi baada ya kuichapa Manchester United 1-0 katika uwanja wa darajani
na kusonga pointi kumi mbele ya Arsenal ambao wako nafasi ya pili.United ilitawala mchezo na ilikuwa na nafasi nyingi ikilinganishwa na viongozi hao wa ligi.
Mourinho:Tuliandaa mechi hiyo ichezeke ilivyokuwa.ni mechi tuliotarajia na ilichezwa kulingana na mpango wetu.
Chelsea watatawazwa kuwa mabingwa iwapo watashinda dhidi ya Chelsea ama Leicester katika mechi mbili zijazo,baada ya kuishinda Manchester United ambayo iko nafasi ya tatu kupitia bao la Eden Hazard
No comments:
Post a Comment