Austin
Makani Mratibu wa Kambi ya matibabu Arusha katika kituo cha kutoa huduma
kwa wanawake (MMC)kilichopo mkabala na Hoteli ya Impala, akizungumza na
waandishi wa habari juu ya ujio wa madaktari bingwa kutoka India kwa
ajili ya kuwaona wagonjwa wenye matatizo ya Moyo,Tumbo,Upasuaji wa
saratani,Mishipa ya fahamu na uti wa mgongo,Shida za
Figo,Mifupa,upasuaji wa jumla na upasuaji wa kupunguza uzito,zoezi hilo
litafanyika kwanzia tarehe20-22 Aprili 2015.
Madaktari bingwa kutoka India.
No comments:
Post a Comment