Monday, April 20, 2015

Watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen



Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao wapo katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.


Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani.

No comments:

Post a Comment