Tuesday, April 21, 2015

Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani


Rais wa zamani Mohammed Morsi
Rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi amehukumiwa kifungo cha mika 20 jela kwa kosa la kuchochea machafuko wakati wa maandamano mwezi Desemba mwaka 2012
Mohamedi Morsi alishirikishwa katika kesi hiyo pamoja na wafuasi wengine kumi na mbili wa Muslim Brothehood, ambao wamehukumiwa pia kifungo cha miaka ishirini jela.
Huu ni uamzi wa kwanza dhidi ya kiongozi wa zamani wa Misri tangu alipotimuliwa madarakani na jeshi mwezi Julai mwaka 2013

No comments:

Post a Comment