Naibu
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi
Ramadhan Mwinyi akizungumza wakati wa Mkutano wa 48 wa Kamisheni ya
Idadi ya Watu na Maendeleo, Tanzania ni mjumbe wa Kamisheni hii ikiwa ni
kati ya nchi 12 kitoka Afrika zikiliwakilisha Bara ya Afrika. pamoja na
naye ni Bw. Seif Shaban Mwinyi, Kamishna wa Mipango kutoka Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar na Bw. Stephen Kiberiti kutoka Wizara ya Afya na
Ustawi wa Jamii.
Sehemu
wa Wajumbe kutoka nchi 47 zinazounda Kamisheni ya Idadi ya Watu na
Maendeleo. wajumbe wa kamisheni hii, 12 wanatoka nchi za Bara la Afrika ,
11 kutoka Bara la Asia na Pacific, 5 kutoka nchi za Ulaya Mashariki, 9
wanatoka Latini ya Amerika na Visiwa na Karibiani, na 10 wanatoka Nchi
za Ulaya Magharibi na Mataifa mengine. Wajumbe hawa huchaguliwa na
Baraza Kuu la Uchumi la Umoja wa Mataifa ( ECOSOC).
No comments:
Post a Comment