Jopo la
Majaji, Kutoka Kulia ni Zephaniah Muggitu wa Digital Consulting Ltd,
Jairos Mahenge Mhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi za Bahari na Maeneo
Tengefu, Dora Myinga Mkulima na Mjasiliamali, Mwandiwe Makame Mkulima na
Mfugaji, Roselyn Kaihula kutoka Ekama Development
Eluka
Kibona, Meneja Utetezi na Ushawishi Oxfam akikaribisha majaji kwa
ajili ya kutaja majina ya washindi watakao ingia shindano la Mama shujaa
wa Chakula 2015
Mmoja wa majaji Zephaniah Muggitu Akieleza kwa ujumla Jinsi mchakato wa kuwapata washindi hao ulivyokuwa.
No comments:
Post a Comment