Monday, April 20, 2015

MANGULA AONGOZA MKUTANO UTEKELEZAJI ILANI YA CCM



Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCM, matawi, wenyeviti wa serikali za mitaa na wajumbe wao na mabalozi wa chama hicho wilaya ya Ilala, uliohusu utekelezaji wa ilani na mchakato wa uchaguzi mkuu uliofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala, Asaa Simba.


Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala, Asaa Simba akimkaribisha Mangula kuzungumza na wanaccm wa wilaya ya Ilala.

Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mhe Mussa Azan 'Zungu' akitoa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika jimbo hilo mbele ya Mangula na viongozi wengine kwenye mkutano huo. Kwa habari kamili na picha zaidi.

No comments:

Post a Comment