Polisi yawatawanyisha CHADEMA kwa mabomu na kumkamata Mwenyekiti
Jeshi la
polisi wilayani Iramba limetumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha
kuwatawanya wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na
kuwakamata Mwenyekiti wa uhamashishaji kanda ya kati Bi Jesca Kishoa na
katibu wa BAVITA wilayani Iramba Bwana Rayman Minja, wakati walipokuwa
wakiwahamasisha wananchi kwenye mkutano wa hadhara kujiandikisha kwenye
daftari la kudumu la wapiga kura
No comments:
Post a Comment