
Wapendelevu’89
( WaP89) ni kikundi cha Wanawake waliomaliza Kidato cha sita Mwaka 1989
katika Shule ya Wasichana Weruweru. Kikundi hiki kinaundwa na wanachama
44 ambao wanajishughulisha na ujenzi wa Taifa katika Nyanja mbalimbali
wakiwamo madaktari, wahasibu, wahadhiri, wachumi, walimu/wahadhiri na
wafamasia.

Awamu ya
pili ya ugawaji wa nguo kwa wagonjwa katika Wodi ya Wanawake. Mh. Al
Shaymaar Kwegyir akisubiri mzigo wake wa kugawa huku akipata maelekezo
kutoka kwa Mwenyekiti wa WaP89 Stella ¬Emma Katende ( katikati)

Akina
mama wanachama wa WaP89 wakiwa na mgeni rasmi Mbunge wa Viti maalum Mh.
Alshaymaar Kwegyir ( mwenye miwani) na Mwakilishi wa Wizara ya Afya (
Idara ya Magonjwa Yasiyoambukiza), Dr Shadrack Busweru ( mwenye shati
Jeupe) wakati wa makabidhiano ya vifaa mbalimbali vilivyotolewa na
Kikundi cha WaP89 kwa hospitali ya Ocean Road, Dar Es Salaam hivi
karibuni
No comments:
Post a Comment